USIKATE TAMAA WEWE NI MSHINDI

Recent News

Friday, October 19, 2018

Afya ya Diego Maradona yatia wasiwasi

Afya ya nguli wa soka wa Argentina, Diego Maradona imeonekana kutia mashaka baada ya kuenea kwa kipande cha video katika mitandao ya kijamii kinacho muonyesha gwiji huyo akitembea kwashida wakati wa mazoezi ya timu yake.
Kwa mujibu wa mwanasheria wa Maradona amesema kuwa kutembea kwa kusuasua kwa lejendari huyo wa soka kunatokana na kuchomwa sindano ya kutibu maumivu ya magoti yanayoonekana kumsumbua kwa kipindi chote.
Maradona mwenye umri wa miaka 57, amekuwa akifahamika kusumbuliwa na matatizo ya goti tangu ilivyoripotiwa kwenye michuano ya kombe la dunia nchini Urusi.
Kwa mujibu wa mwanasheria wa Maradona amesema kuwa kutembea kwa kusuasua kwa lejendari huyo wa soka kunatokana na kuchomwa sindano ya kutibu maumivu ya magoti yanayoonekana kumsumbua kwa kipindi chote.
Maradona mwenye umri wa miaka 57, amekuwa akifahamika kusumbuliwa na matatizo ya goti tangu ilivyoripotiwa kwenye michuano ya kombe la dunia nchini Urusi.
Maradona kwa sasa ni meneja wa klabu ya Mexican inashiriki ligi daraja la pili, Dorados lakini kwa mujibu wa kipande hicho cha video kinamuonyesha akitembea kwa shida katika viunga vya timu hiyo huku akipatiwa msaada na kocha msaidizi, Luis Campos.
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();

Author Details

Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.

Support

SUBSCRIBE OUR CHANEL