USIKATE TAMAA WEWE NI MSHINDI

Recent News

Wednesday, October 31, 2018

Beka Flavour na mpenzi wake wapata mtoto wa kiume


Msanii wa Bongo Fleva, Beka na mpenzi wake wamefanikiwa kupata mtoto wao wa kwanza na kumpa jina la Aaryani.

Muimbaji huyo amemshukuru mpenzi wake kwa kumpatia zawadi hiyo ya mtoto  kwani wasichana wengi wa sasa wa rika lake hawapo tayari kubeba jukumu la kuwa mama.

"Nimshukuru huyu mwanamke ambae alikubali kubeba ujauzito miezi yote 9 akiwa na mmewe ambae ni mimi tukiishi pamoja kwa raha na karaha hii kitu ni nadra sana kwa wasichana wa sasa ambao wamekamilika kila kitu kuanzia uzuri waliobarikiwa na Mungu," amesema Beka.

Utakumbuka kuwa mpenzi wa Beka Flavour ndiye ametoka kwenye video ya wimbo wa muinbaji huyo inayokwenda kwa jina la Kibenteni.
Share:

0 comments:

Post a Comment

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();

Author Details

Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.

Followers

Search This Blog

Support

SUBSCRIBE OUR CHANEL