USIKATE TAMAA WEWE NI MSHINDI

Recent News

Saturday, October 20, 2018

Cardi B akataa kuwa mtumwa, arudisha fadhila kwao

“Mkataa kwao ni mtumwa” ni rapper Cardi B kwenye headlines ambaye amekataa kuwa mtumwa na hivyo kupakumbuka kwao Brooklyn  na kuamua kuwasaidia watu wasiojiweza kwa kuwapatia majaketi na viatu.
Rapper Cardi B ni mzaliwa wa Brooklyn New York na amefanya tukio hilo siku yaAlhamisi October 18,2018 na kupata muitikio wa maelfu ya watu wanaoishi kwenye makazi ya umma ya Marlboro, Gravesend mjini Brooklyn .
“Lazima tuweke mifano kwa watoto muda mwingine watu wanafikiri kwamba tunafanya tu mambo yasiyofaa lakini una muda tunapaswa kuwajali watoto,jamii na kila kitu” >>>Cardi B  

“Mkataa kwao ni mtumwa” ni rapper Cardi B kwenye headlines ambaye amekataa kuwa mtumwa na hivyo kupakumbuka kwao Brooklyn  na kuamua kuwasaidia watu wasiojiweza kwa kuwapatia majaketi na viatu.

Rapper Cardi B ni mzaliwa wa Brooklyn New York na amefanya tukio hilo siku yaAlhamisi October 18,2018 na kupata muitikio wa maelfu ya watu wanaoishi kwenye makazi ya umma ya Marlboro, Gravesend mjini Brooklyn .
“Lazima tuweke mifano kwa watoto muda mwingine watu wanafikiri kwamba tunafanya tu mambo yasiyofaa lakini una muda tunapaswa kuwajali watoto,jamii na kila kitu” >>>Cardi B  

Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();

Author Details

Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.

Support

SUBSCRIBE OUR CHANEL