USIKATE TAMAA WEWE NI MSHINDI

Recent News

Monday, October 22, 2018

Masikini kocha wa Real Madrid!, wiki hii haiishi bila kutimuliwa nafasi yake kuchukuliwa na Mourinho

Rais wa klabu ya Real Madri, Florentino Perez huwenda akamtimua kazini meneja wa timu hiyo Julen Lopetegui siku ya Jumanne bila kujali matokeo yatakayopatikana kwenye mechi yao dhidi ya Viktoria Plzen hii ni kwa mujibu wa mtangazaji na mchambuzi wa habari za kiuchunguzi za michezo, Josep Pedrerol akiyasema hayo kupitia El Chiringuito

Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();

Author Details

Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.

Support

SUBSCRIBE OUR CHANEL