USIKATE TAMAA WEWE NI MSHINDI

Recent News

Wednesday, October 31, 2018

Angela Merkel atolea wito wa kuwekeza zaidi barani Afrika

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel atolea wito wa kuwekeza zaidi barani Afrika.

Katika  mkutano uliofanyika mjini Berlin kuhusu uwekezaji  katika sekta binafsi  barani Afrika ”Compact with Africa”, kansela wa Ujerumani Angela Merkel ametoa wito wa kuwekeza barani Afrika.

Mkutano huo umefanyika Jumanne mjini Berlin.

Vyombo vya habari  kutoka  Ufaransa na Ubelgiji vimefahamisha kuwa  Merkel ametoa wito wa kuwekeza  barani Afrika  kuliko kuwekeza zaidi  Asia.
Share:

0 comments:

Post a Comment

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();

Author Details

Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.

Followers

Search This Blog

Support

SUBSCRIBE OUR CHANEL