USIKATE TAMAA WEWE NI MSHINDI

Recent News

Saturday, October 20, 2018

Breaking News:Waziri wa Muungano na Mazingira January Makamba adhibitisha kupatikana kwa MoDewij

Waziri wa Muungano na Mazingira January Makamba amerhibitisha kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa amepatikana mfanyabiashara mkubwa Mohamed Dewij na tayari ameonana nae na kuongea nae

Makamba amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter na kusema hivyo.

Ikumbukwe kuwa MoDewij alipotea wiki moja iliyopita kwa kutekwa na watu wasiojulikana katika hoteli ya kifahari ya Clollesium Masaki jiji Dar es Salaam wakati anaenda hapo kwa mazoezi alfajiri ya Saa kumi na moja.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();

Author Details

Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.

Support

SUBSCRIBE OUR CHANEL