Makamba amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter na kusema hivyo.
Ikumbukwe kuwa MoDewij alipotea wiki moja iliyopita kwa kutekwa na watu wasiojulikana katika hoteli ya kifahari ya Clollesium Masaki jiji Dar es Salaam wakati anaenda hapo kwa mazoezi alfajiri ya Saa kumi na moja.
0 comments:
Post a Comment