USIKATE TAMAA WEWE NI MSHINDI

Recent News

Monday, October 29, 2018

Rayvanny ajitolea kumsaidia dada mwenye uvimbe mkubwa jichoni


Msanii wa Bongo Fleva, Rayvanny amejitolea kumsaidia dada ambaye video yake imekuwa ikisambaa kwenye mitandao hivi karibuni ikionyesha akiwa na uvimbe mkubwa jichoni.

Meneja kutokea WCB, Babu Tale ndiye ameeleza kuwa Rayvanny ameonyesha nia ya kumsaidia dada huyo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;

"Nimeagizwa na kijana wangu Rayvanny kwa yeyote anayejua huyu dada anapatikana vipi naomba atusaidie ili aweze kumsaidia kutoa msaada kwa kile kidogo alichonacho ila tutaakikisha mpaka atakua salama," ameeleza Babu Tale.

Kwa yeyote anayemfahamu anaweza kuwasiliana na Babu Tale kupitia simu namba +255677011134.

Kwa taarifa tulizonazo huyo dada anaitwa Tumaini Ngamilo kutokea Tukuyu, Mbeya. Anasumbuliwa na tatizo ambalo bado halijajulikana ni nini hasa na lilianza kama uvimbe mdogo lakini hatimaye jicho lote limeharibika na kidonda kinazidi kukua siku hadi siku.
  
TAZAMA VIDEO YAKE


Share:

0 comments:

Post a Comment

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();

Author Details

Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.

Followers

Search This Blog

Support

SUBSCRIBE OUR CHANEL