USIKATE TAMAA WEWE NI MSHINDI

Recent News

Thursday, October 18, 2018

Wasanii wawili Mwana FA na Richie wateuliwa kuwa wajumbe wa bodi ya baraza la sanaa taifa (BASATA)


Wasanii wawili Mwana FA na Richie wateuliwa kuwa wajumbe wa bodi ya baraza la sanaa taifa (BASATA)

Wasanii wawili wa sanaa mmoja akiwa ni  mwanamuziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Hamisi M.Mwinjuma kwa jina maarufu la kazi Mwana FA pamoja na msanii wa Bongo Movie Single Mtambalike alimaarufu Richie wameweza kuwa miongoni mwa wajumbe watano walioteuliwa na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harison Mwakyembe.
Kufuatia uteuzi uliofanywa na rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli wa kumteua bwana Habbi Gunze kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) na leo Waziri mwenye dhamana ameweza kuteua wajumbe watano,miongoni mwa wajumbe hao wapo wasanii wawili ambao ni Mwana FA pamoja na Single Mtambulike – Richie.
  
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();

Author Details

Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.

Support

SUBSCRIBE OUR CHANEL