USIKATE TAMAA WEWE NI MSHINDI

Recent News

Friday, October 26, 2018

Sijawahi kutumia Condom - Lava Lava


Muimbaji Lava Lava amesema yeye huwa hatumii condom.

Muimbaji huyo kwenye mahojiano na The Playlisty ya Times FM amesema katika maisha yake hajawahi kutumia condom

Kauli hiyo inakuja alipokuwa akieleza kisa cha kukataa busu kutoka kwa moja wa mashabiki wake alipokuwa akifanya show nchini Kenya.

"Kuna baadhi ya maeneo aibu lazima iwepo lakini sina aibu sana," amesema Lava Lava.

Kwa sasa Lava Lava anafanya vizuri na wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Nitake Nini
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();

Author Details

Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.

Support

SUBSCRIBE OUR CHANEL