USIKATE TAMAA WEWE NI MSHINDI

Recent News

Friday, October 26, 2018

Ujumbe wa Lady Jaydee kwa wasanii Wapya

Muimbaji wa muda mrefu kwenye Bongo Fleva, Lady Jaydee ameeleza sababu ya wasanii wengi kuanza muziki vizuri na kupotea baada ya kipindi kifupi.

Lady Jaydee ameeleza kuwa sababu ya wengi kuishia njiani ni kushindwa kuvumilia changamoto zilizopo kwenye kiwanda cha muziki.

"Inabidi uwe na moyo uwe na uvumilivu kila siku ukiwa umeamka uwe umeamua leo tena naendelea kwa sababu kuna changamoto nyingi vizuizi vingi na kupenya sio rahisi, kwa hiyo watu wengine wanakata tamaa mwenye nyoyo nyepesi," Lady Jaydee  ameiambia Wasafi TV.

Lady Jaydee anatarajiwa kudondosha show ya nguvu leo, Vocals Night pande za Mlimani City, Dar es Salaam, huku akisindikizwa na wasanii kama Grace Matata, Damian Soul, Juliana kutoka Uganda na Zaharasa wa Afrika 
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();

Author Details

Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.

Support

SUBSCRIBE OUR CHANEL